Doa - Kithaka Wa Mberia - Livros - Marimba Publications - 9789966794420 - 7 de setembro de 2018
Caso a capa e o título não sejam correspondentes, considere o título como correto

Doa

Preço
€ 26,99

Item sob encomenda (no estoque do fornecedor)

Data prevista de entrega 4 - 18 de ago
Receba avisos sobre novos lançamentos de Kithaka Wa Mberia
Adicione à sua lista de desejos do iMusic

Ainda não avaliado

Profesa Kithaka wa Mberia anafundisha na kufanya utafiti katika Idara ya Isimu na Lugha, Chuo Kikuu cha Nairobi, Nairobi, Kenya. Mbali na kufundisha na kufanya utafiti, anajishughulisha na uandishi wa mashairi na tamthilia. Tamthilia yake maarufu iitwayo Kifo Kisimani ilikuwa kitabu cha lazima katika mtihani wa kidato cha nne nchini Kenya kuanzia 2006 hadi 2012. Tamthilia yake nyingine iitwayo Natala ilikuwa kitabu cha kutahiniwa katika vyuo vya walimu, pia nchini Kenya, kuanzia 2005 hadi 2016. Mwandishi amewahi kukariri mashairi yake katika maeneo kadhaa ikiwa ni pamoja na Kenya, Tanzania, Iran, Marekani, US Virgin Islands, United Arab Emirates, Upolanzi, Ujerumani na Italia.

Mbali na Doa, Kifo Kisimani na Natala, Profesa Kithaka wa Mberia amechapisha vitabu vingine ambavyo ni Mchezo wa Karata (mashairi), Bara Jingine (mashairi), Redio na Mwezi (mashairi), Msimu wa Tisa (mashairi), Rangi ya Anga (mashairi) na Maua Kwenye Jua la Asubuhi (tamthilia). Diwani nyingine zake mbili za mashairi, Mvumo wa Helikopta na Bustani ya Miungu (huenda vichwa hivi vikabadilkika), zinatarajiwa kuchapishwa mwaka

huu na mwaka ujao mtawalia.

Mídia Livros     Paperback Book   (Livro de capa flexível e brochura)
Lançado 7 de setembro de 2018
ISBN13 9789966794420
Editoras Marimba Publications
Páginas 130
Dimensões 127 × 178 × 8 mm   ·   108 g
Idioma Swahili  

Mais por Kithaka Wa Mberia

Mostrar tudo

Mais da mesma editora